IMEFAHAMIKA kuwa klabu ya Barcelona              imeanza mipango ya kumchukua kocha wa Juventus ya Italia,              Massimiliano Allegri.
        Barca wanasaka kocha atakayemrithi Luis              Enrique ambaye ameshaweka wazi kuwa ataihama timu hiyo              mwishoni mwa msimu huu utakaomalizika Mei, mwaka huu.  
        
Comments
Post a Comment