MANCHESTER CITY YAWEKA BAYANA SERGIO AGUERO HATAUZWA NG'O



MANCHESTER CITY YAWEKA BAYANA SERGIO AGUERO HATAUZWA NG'O
KLABU ya Manchester City imewatuliza mashabiki wake ikisema haina mpango wa kumtimua mpiga mabao wake, Sergio Aguero licha ya kuanza kazi vizuri kwa chipukizi kutoka Brazil Gabiel Jesus.

Baada ya kutua kwa Jeasus mwenye miaka 19, wengi wameanza kuhisi kuwa Aguero mwenye miaka 28, atauzwa kwani amepoteza makali yake lakini klabu hiyo imeweka bayana kuwa haitamuuza.


Comments