KANTE ASEMA DIDIER DROGBA NDIE ALIYEMTOA SOKA LA RIDHAA NA          KUMPELEKA LA KULIPWA                        KIUNGO wa              Chelsea, N'Golo Kante ameweka wazi kuwa alikuwa akivutiwa              kwa kiasi kikubwa na mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo,              Didier Drogba na ndie mtu sahihi aliyemshawishi kutoka soka              la ridhaa hadi kulipwa.
                         
 
Comments
Post a Comment