 BEKI wa            zamani wa Azam FC, Serge Pascal Wawa amefunga ndoa na mzazi            mwenzake aliyezaa nae watoto watatu.
BEKI wa            zamani wa Azam FC, Serge Pascal Wawa amefunga ndoa na mzazi            mwenzake aliyezaa nae watoto watatu.
Wawa amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram picha zinazomuonyesha akiwa na mwanamke huyo katika nyuso za furaha huku akipokea salamu za pongezi toka kwa marafiki kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Wawa amerejea kwenye timu yake ya zamani ya El-Merreikh ya          Sudan baada ya kumaliza mkataba wake na matajiri wa Ligi Kuu ya          Vodacom na hakutaka kuongeza mkataba kwa kile kilichodaiwa kuwa          ni kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha Mhispania, Zeben          Hernandez.
Chanzo: boiplus.blogspot.com

Comments
Post a Comment