TEVEZ ADAIWA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SHANGHAI SHENHUA



TEVEZ ADAIWA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SHANGHAI SHENHUA

NYOTA wa zamani wa klabu ya Juventus ambaye kwa sasa anakipiga kwenye klabu ya Boca Juniors, Carlos Tevez anadaiwa kufanya mazungumzo na matajiri wa nchini China, Shanghai Shenhua ambao wameweka euro mil 40 kwa ajili ya mchezaji huyo.


Comments