MSHAMBULIAJI              mahiri wa zamani wa Manchester United na England, Teddy              Sheringham amesema kwake yeye kipa Hugo Lloris ndiye kipa              bora zaidi kuwahi kuidakia Tottenham.
        Shmpongeza kocha              wa Spur, Mauricio Pochettino kwa uamuzi wake wa kumpa              unahodha kipa huyo Mfaransa akisema anafanya mambo makubwa              White Hart Lane kutokana na uwezo na juhudi binafsi.
        
Comments
Post a Comment