Real            Madrid imeifunga Sporting Gijon 2-1 kwenye mechi ya La Liga            iliyochezwa  Santiago Bernabeu huku Cristiano Ronaldo akifunga            yote mawili na kuwa kinara wa ufungaji.
        Mshambuliaji            huyo ambaye kwa sasa yupo kwenye fomu ya kutisha, alifunga la            kwanza dakika ya 5 kwa njia ya penalti na la pili akatupia            dakika ya 18.
        Bao pekee            la Sporting Gijon likafungwa na kiungo Carlos Carmona kunako dakika ya 35.
        REAL              MADRID (4-4-2): Keylor 6; Danilo 6, Pepe 6, Ramos 6            (Marcelo, 72, 6), Nacho 7; Lucas 7, Kovacic 6 (Isco, 81),            Modric 6, Rodriguez 6 (Asensio, 72 6); Benzema 6, Ronaldo 8
        SPORTING              GIJON (5-4-1): Marino 6; Douglas 6, Lillo 6, Mere 7,            Amorebieta 6, Lopez 6; Alvarez 6, Rachid 6 (Cases, 81),            Carmona 7 (Rodriguez, 76, 6), Moi Gomez 7 (Viguera, 76); Cop 6
        
Comments
Post a Comment