MAGOLI            maridadi!! Ndivyo alivyosema huku akitabasamu kocha wa            Manchester City Pep Guardiola mara baada ya mchezo ulioisha            kwa timu yake kuilaza Burnley 2-1 kwenye dimba la Turf Moor.
        Wenyeji            walianza kwa bao la kuongoza la dakika ya 14 mfungaji akiwa Dean Marney, lakini City wakafunga katika            dakika ya 34 na 60 magoli yote yakifungwa na Sergio Aguero.
        BURNLEY              (4-2-3-1): Robinson 6.5; Lowton 6.5, Keane 7, Mee 6.5,            Ward 6; Marney 7 (Arfield 40, 6.5), Defour 6 (Barnes 82);            Gudmundsson 6.5 (Tarkowski 43), Hendrick 6, Boyd 6.5; Vokes 6.            Subs: Pope, Gray, Flanagan, Kightly.
        MAN              CITY (4-2-3-1): Bravo 7; Sagna 6.5, Otamendi 6, Kolarov            6.5, Clichy 6; Fernando 6.5, Fernandinho 7; Sterling 6 (Sane            58, 6), Toure 6.5, Nolito 6.5 (De Bruyne 79, 6); Aguero 7.5            (Navas 89). Subs: Caballero, Zabaleta, Silva, Iheanacho.
        
Comments
Post a Comment