LIVERPOOL imekaa kileleni mwa Ligi Kuu ya            England baada ya kuikwanyua Watford 6-1 kwa mabao ya Sadio            Mane aliyefunga mara mbili, Philippe Coutinho, Emre Can, Jose            Holebas na Roberto Firmino.
        Watford iliyozidiwa kila idara ilipata bao            lake pekee dakika ya mwisho wa mchezo kupitia kwa Georginio            Wijnaldum.
        Sadio Mane (kulia) akifunga kwa kichwa              kitamu dakika ya 27
        
Comments
Post a Comment