ANDRES Iniesta amepona            goti aliloumia Oktoba na ameanza mazoezi mepesi na kikosi "A"            cha Barcelona na hivyo kuleta matumaini ya kucheza mechi ya            Clasco dhidi ya Real Madrid Jumamosi ijayo Desemba 3. Samuel            Umtiti pia anatarajia kuwa tayari kwa mechi hiyo.
        
Comments
Post a Comment