ARSENAL YAVUTWA SHATI NA TOTTENHAM ...yashindwa kurejea kileleni


ARSENAL YAVUTWA SHATI NA TOTTENHAM ...yashindwa kurejea kileleni

Mousa Dembele (left) jostles for the ball with Arsenal              playmaker Mesut Ozil (right) during the first half at the              Emirates


ARSENAL imepunguzwa kasi na Tottenham baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 kwenye mchezo Ligi Kuu ya England.

Harry Kane ndiye aliyefuta matumaini ya Arsenal kukaa kileleni mwa Ligi Kuu kwa kuifungia Tottenham bao la kusawaisha kwa mkwaju wa penalti dakika ya 51, hiyo ikiwa ni mara yake ya nne kuitungua Arsenal katika mechi tano zilizopita.

Kevin Wimmer aliizawadia Arsenal bao la kuongoza baada ya kujifunga dakika ya 42 na kuwafanya vijana wa Wenger waende mapumziko wakiwa mbele.

ARSENAL XI (4-2-3-1): Cech 6.5; Bellerin 7, Mustafi 5, Koscielny 6, Monreal 6.5; Coquelin 6.5 (Ramsey 65mins, 5), Xhaka 7; Walcott 6 (Oxlade-Chamberlain 71, 5), Ozil 7, Iwobi 5.5 (Giroud 70, 5); Sanchez 5.5

TOTTENHAM XI (3-4-1-2): Lloris 7; Dier 6.5, Wimmer 5.5, Vertonghen 7; Walker 5.5 (Trippier 80), Wanyama 7, Dembele 7.5, Rose 6.5; Eriksen 6.5; Son 5.5 (Winks 89), Kane 6.5 (Janssen 73, 5)  
Harry            Kane shows his delight after scoring from the penalty spot on            his return to Tottenham's starting line-upHarry Kane wa Tottenham akishangilia bao kusawazisha


Kane places the ball down the middle as the diving              Arsenal goalkeeper Petr Cech dives down to his left-hand              side

Kane akiusukumiza mpira wavuni kwa penalti
Kevin Wimmer heads the ball into his own net as he              jumps for the ball alongside Arsenal captain Laurent              Koscielny

Kevin Wimmer akijifunga na kuipa Arsenal bao la kuongoza



Comments