VALENCIA, SEVILLA ZAMPIGANIA ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN



VALENCIA, SEVILLA ZAMPIGANIA ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN
TAARIFA zimedaikuwa Valencia na Sevilla ziko kwenye vita nzito ya kumpigania staa wa Arsenal Alex Oxlade-Chamberlain.


Tetesi hizo zimekuja ikiwa ni baada ya kiungo huyo raia wa England kutamka wazi kuwa anataka kuwakimbiaGunners.


Comments