VALENCIA, SEVILLA ZAMPIGANIA ALEX OXLADE-CHAMBERLAIN                        TAARIFA              zimedaikuwa Valencia na Sevilla ziko kwenye vita nzito ya              kumpigania staa wa Arsenal Alex Oxlade-Chamberlain.
        
            
                Tetesi hizo              zimekuja ikiwa ni baada ya kiungo huyo raia wa England              kutamka wazi kuwa anataka kuwakimbiaGunners.
                         
 
Comments
Post a Comment