KOCHA wa West              Brom, Tony Pulis amesema kuwa uongozi wa klabu hiyo uko              tayari kumpa mkataba mnono wa muda mrefu straika wao, Saido              Berahino (23).
        Hatua hii imekuja              baada ya mara kwa mara straika huyu wa kimataifa wa England              kushinikiza kuondoka klabuni hapo.
        
Comments
Post a Comment