MESUT OZIL ATAMANI KUREJEA SANTIAGO BERNABEU                        SIRI imefichuka              kuwa licha Arsenal kuwa kwenye mazungumzo ya kumpa mkataba              mpya staa wake Mesut Ozil, nyota huyo anataka kurejea              Santiago Bernabeu.
        
            
                Kabla ya kutua              Emirates, Mjerumani huyo alikuwa akikipiga katika kikosi cha              mabingwa hao wa La Liga.
                         
 
Comments
Post a Comment