LUCA MODRIC AWASHUKURU WADAU KWA UPASUAJI WA GOTI          ULIOFANIKIWA                                UPASUAJI wa goti              la kushoto aliofanyiwa kiungo wa Real Madrid, Luca Modric              umefanikiwa na nyota huyo ambaye anahitaji muda kupona              amewashukuru madaktari kwa juhudi walizofanya kufanikisha.
                         
 
Comments
Post a Comment