KOCHA MIKE PHELAN KUKABIDHIWA MIKOBA YA STEVE BRUCE                        BAADA ya kuchukua              kwa muda kibarua cha Steve Bruce, kocha Mike Phelan              anatarajiwa kukabidhiwa rasmi kibarua hicho.
        
            
                Baada ya              mapumziko ya mechi za kimataifa, wamiliki wa klabu hiyo              wanataka kumpa mkataba mpya Phelan.
                         
 
Comments
Post a Comment