BEKI wa kimataifa              wa Serbia, Branislav Ivanovic, 32, anaweza kuwa mchezaji wa              kwanza kuuzwa na Antonio Conte katika dirisha dogo la              usajili.
        Conte yuko kwenye              mipango ya kuimarisha safu yake ya ulinzi inayoonekana              kuchoka na kuruhusu mabao mengi ya kizembe msimu huu.
        
Comments
Post a Comment