CONTE AHAKIKISHIWA LEONARDO BONUCCE JUVENTUS ATATUA STANFORD BRIDGE JULAI




CONTE AHAKIKISHIWA LEONARDO BONUCCE JUVENTUS ATATUA STANFORD BRIDGE JULAI
MMILIKI wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich amedai kuwa atashughulikia uhamisho wa beki Leonardo Bonucce anayekipiga Juventus.


Tajiri huyo amemhakikishia kocha Antonio Conte kuwa mlinzi huyo raia wa Italia atatua Stanford Bridge Julai.


Comments