FABREGAS AONYESHA VITU ADIMU NA KUIBEBA CHELSEA DHIDI YA LEICESTER …bao 6 zatinga wavuni



FABREGAS AONYESHA VITU ADIMU NA KUIBEBA CHELSEA DHIDI YA LEICESTER …bao 6 zatinga wavuni
Cesc Fabregas seemed particularly excited as he                  headed over to celebrate with the Chelsea fans after the                  equalising goal

Kwa wale wote wenye mashaka na uwezo wa Cesc Fabregas wamepata majibu mazuri baada ya nyota huyo wa Hispania kufunga mabao mawili matamu ya 'extra time' yaliyoipa Chelsea ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester katika EFL Cup.
Mchezo huo ulilazimika kwenda hadi dakika 30 za nyongeza baada ya miamba hiyo miwili ya Premier League kutoka sare ya 2-2 katika muda wa kawaida.
Nyota wa kimataifa wa Japan  Shinji Okazaki aliiduwaza Chelsea baada ya kuifungia Leicester mabao mawili ya kuongoza katika dakika ya 17 na 34.
Chelsea wakasawazisha kupitia kwa mabeki wake Gary Cahil dakika ya 45 na Cesar Azpilicueta dakika ya 50 kabla ya Cesc Fabregas kufanya vitu vyake dakika ya 92 na 94.
Leicester walilazimika kucheza pungufu kuanzia dakika ya 89 baada Marcin Wasilewski kulambwa kadi nyekundu.
Leicester 4-4-2: Zieler 6; Simpson 5, Wasilewski 4.5, Morgan 6, Chilwell 6.5; Schlupp 6, King 7, Drinkwater 7, Gray 6 (Amartey 90); Okazaki 7.5 (Ulloa 75, 6), Musa 6 (Vardy 76, 5).
Chelsea 4-2-3-1: Begovic 6; Azpilicueta 6, Cahill 5, Luiz 6, Alonso 5; Fabregas 8, Matic 6; Moses 5, Loftus-Cheek 5 (Costa 67, 6.5), Pedro 6 (Hazard 89, 7); Batshuayi 5.5 (Chalobah 80)
Cesc                  Fabregas scored twice in extra-time as the Spaniard sent                  Chelsea through to the next round of the EFL Cup
Cesc Fabregas amefunga mara mbili katika extra-time na kuisongesha mbele Chelsea katika EFL Cup
The                  Spanish midfielder fired home two well-struck efforts as                  his side came from 2-0 down to progress in the cup
Cesc Fabregas akishangilia bao lake
Leicester had previously taken a two-goal lead                  thanks to two goals from Japanese striker Shinji                  Okazaki
 Shinji Okazaki aliifungia Leicester City mabao mawili ya mapema 


Comments