KLABU ya              Sunderland imewabania mabingwa wa Ligi Kuu England,              Leicester City waliokuwa wakimfukuzia mlinzi Lamine Kone.
        Leicester              walikuwa wakimuhitaji beki huyo mwenye miaka 27, ili              kukiboresha kikosi chao ambacho kitakabiliwa na ushindani              mkali msimu huu.
        
Comments
Post a Comment