KIUNGO Moussa              Sissoko mwenye umri wa miaka 26, anaweza kuiacha Newcastle              United muda wowote kuanzia sasa.
        Mchezaji huyo              anazidi kufukuziwa na klabu kadhaa, ikiwemo Crystal Palace              inayotaka kuziba pengo la kiungo yake aliyetimka Yannick              Bolasie.
        
Comments
Post a Comment