ARSENAL YAMNG'ANG'ANIA KIERAN GIBBS... yasema haiko tayari kukaa meza moja na klabu yoyote itakayohitaji
ARSENAL imesema              haiko tayari kukaa meza moja na klabu yoyote itakayohitaji              kumsajili nyota wake Kieran Gibbs.
        Kauli hiyo              imekuja huku kukiwa na taarifa kuwa klabu ya West Ham              inasuka mipango kabambe ya kuhakikisha inanasa saini ya staa              huyo.
                

Comments
Post a Comment