STRAIKA wa timu              ya Fernebahce, Robbin Van Persie huenda akafanya uhamisho wa              kushitusha kuelekea katika klabu ya Rangers ya Scotland.
        Kwa mujibu wa              gazeti la Daily Star, vigogo hao wa soka, Scotland wako              katika mazungumzo ya mwisho na nyota huyo wa zamani wa timu              ya Manchester United.
        
Comments
Post a Comment