VAN PERSIE AWEKWA SOKONI KWA KUSHINDWA KUONYESHA KIWANGO


VAN PERSIE AWEKWA SOKONI KWA KUSHINDWA KUONYESHA KIWANGO
MCHEZAJI wa zamani wa klabu za Arsenal na Manchester United za England, Robin Van Persie raia wa Uholanzi amewekwa sokoni na klabu yake ya Fernabahce ya Uturuki.


Van Persie mwenye miaka 32 ameshindwa kuonyesha kiwango cha kuvutia na hivyo kuifanya klabu hiyo kuona inapoteza fedha nyingi za bure kumlipa mshahara.


Comments