UJERUMANI WAITULIZA ITALIA KWA PENALTI NA KUTINGA NUSU FAINALI



UJERUMANI WAITULIZA ITALIA KWA PENALTI NA KUTINGA NUSU FAINALI
Hector was mobbed by his team-mates as Germany's                squad celebrated their narrow passage to the Euro 2016                semi-finals

UJERUMANI imekosa penalti tatu katika hatua ya mikwaju ya penalti kwenye mchezeo wa robo fainali dhidi ya Italia, lakini bado wakashinda na kutinga nusu fainali ya Euro 2016.

Timu hizo zilikwenda sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 na ilipofika hatua ya mikwaju ya penalti Ujerumani wakashinda 6-5.

Miamba hiyo ya soka barani Ulaya ililazimika kwenda hadi penalti ya tisa ndipo mshindi alipopatikana kwa Italia kupoteza jumla ya penalti nne huku Ujerumani wakipoteza tatu.

Ujerumani walipata bao la kuongoza dakika ya 65 kupitia kwa Mesut Ozil lakini Leonardo Bonucci akaisawazishia Italia kwa njia ya penalti dakika ya 78. 
 Hivi ndivyo penalti zilivyopigwa
Jonas Hector proved                  Germany's hero as his spot-kick saw them prevail 6-5 in                  their penalty shootout against Italy
Jonas Hector akishangilia penalti yake iliyoipa Ujerumani ushindi dhidi ya Italia
Hector was mobbed by his                  team-mates as Germany's squad celebrated their narrow                  passage to the Euro 2016 semi-finals
Hector akishangiliwa na wenzake
Germany's emotions                  contrasted considerably with Italy who lost to their                  opponents for the first-time ever at an international                  tournament
Italia hoi
Matteo Darmian was the                  unfortunate one to miss for Italy to hand Germany the                  chance to win the penalty shootout
Matteo Darmian akikosa penalti



Comments