TEVEZ ADAI KUNYATIWA NA CHELSEA... pia Napoli yamuomba arejee kukipiga Ulaya japo miaka mitatu



TEVEZ ADAI KUNYATIWA NA CHELSEA... pia Napoli yamuomba arejee kukipiga Ulaya japo miaka mitatu
MSHAMBULIAJI mkongwe wa Argentina, Carlos Tevez aliyepata kutamba na westham, Manchester United na City, amesema matajiri wa London, Chelsea wanataka kumrudisha Ulaya.


Tevez ambaye aliamua kukatisha mkataba wake wa kuitumikia Juventus na kurejea zake kwa Argentina, amesema mbali na Chelsea, pia Napoli ya Italia imemuomba arejee kukipiga Ulaya walau kwa miaka mitatu na kwamba bado anazitafakari ofa hizo.


Comments