LIVERPOOL YACHOMOA KUMFUKUZIA MARIO GOTZ WA BAYERN MUNICH



LIVERPOOL YACHOMOA KUMFUKUZIA MARIO GOTZ WA BAYERN MUNICH
KLABU ya Liverpool imejitoa katika mbio za kutaka kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Mario Gotze mwenye miaka 24.


Wakati Liverpool wakijitoa, klabu za Tottenham na Borussia Dortmund zimeendelea kuisotea saini ya mchezaji huyo aliyekuwepo kwenye kikosi cha Ujerumani kilichotwaa ubingwa mwaka 2014.


Comments