TAREHE kama ya leo            mwaka jana, tasnia ya muziki wa dansi Tanzania ilipata pigo            kubwa baada ya mwimbaji na mtunzi nyota Ramadhan Masanja            "Banza Stone" kufariki dunia.
        Banza aliyeng'ara zaidi            na bendi za Twanga Pepeta, TOT, Bambino Sound na Extra Bongo,            akazikwa kwenye makaburi ya Sinza jijini Dar es Salaam siku            moja baadae.
        Jikumbushe mazishi yake yalivyofanyika.
                 Msafara wa kuelekea msikitini 
                 Steve Nyerere mbunge mtarajiwa wa            Kinondoni (wa pili kulia) akishiriki msiba wa Banza 
                 Mwili unatolewa msikitini tayari kwa            kuanza safari ya kuelekea makaburini
                 Juma Nature (kushoto) akishiriki kubeba            jeneza la Banza
                 Hili ndio kaburi la Banza Stone
                 Umati wa watu tayari ukiwa umewasili            makaburini
                 Katikati mwenyr fulana nyeusi ni meneja wa            Mashauzi Classic Ismail Sumaragar
                 Watu wakiwa makaburini wakiusubiri mwili            wa Banza
                 Ndugu wa warehemu wakiwa ndani ya kaburi            tayari kwa kuupokea mwili wa Banza
                 Mwili wa Banza ukiwasili makaburini
                 Harakati za kuushusha mwili wa Banza            zinaendelea
                 Mwili wa Banza sasa unaingizwa kaburini
                 Mwili wa              Banza tayari umeingizwa kaburini
                 Mwenye fulana nyeusi ni Hajji mtoto wa            Banza akingalia mazishi ya baba yake yanavyoendelea
                 Kushoto ni Hajji Masanja na katikati ni            meneja wa Twanga Pepeta Hassan Rehani
                 Mwimbaji Dogo Rama wa Twanga Pepeta            akishiriki mazishi ya Banza
                 Mwenye kofia nyeupe ni Juma Nature            akishiriki kufukia kaburi la Banza
                 Mazishi  ya Banza yamekamilika
                 Ni wasaa wa kupata dua kwa wanafamilia na            watu wa karibu wa marehemu
                Ndugu wa Banza Stone            wakifanya dua baada ya washiriki wengine kuondoka makaburini
        




















Comments
Post a Comment