KOCHA wa Everton,              Ronald Koeman ametenga kiasi cha pauni mil 30 ili kumsajili              kiungo wa Ureno, Wiliam Carvalho.
        Mchezaji huyo              mwenye miaka 24 alikuwa nguzo ya Ureno kwenye michuano ya              Euro 2016 ambapo waliandika historia kwa kutwaa ubingwa.
        
Comments
Post a Comment