MIAMBA ya soka              Italia, klabu ya Juventus imeendelea kuonyesha dhamira yao              ya kumsajili winga wa klabu ya Dinamo Zagreb, Marko Pjaca.
        Pjaca ameonyesha              kiwango cha hali ya juu kwenye michuano ya fainali za Ulaya              "Euro 2016", akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Croatia na              hilo ndilo linalomfanya azitoe udenda klabu kadhaa Ulaya.
        
Comments
Post a Comment