JOHN STONES KUTUA MANCHESTER CITY KWA KITITA CHA PAUNI MIL          50                        TIMU ya              Manchester City inasemekana kuwa mbioni kumnasa beki wa              Everton, John Stones kwa rekodi ya uhamisho wa pauni mil 50.
        
            
                Gazeti la Metro              limeripoti juzi kwamba hatua hiyo imekuja baada ya ofa ya              kwanza ya pauni mil 40 kukataliwa.
                         
 
Comments
Post a Comment