HENRIKH MKHITARYAN AWAPA MANCHESTER UNITED KITU ROHO INATAKA


HENRIKH MKHITARYAN AWAPA MANCHESTER UNITED KITU ROHO INATAKA
Manchester United new boy Henrikh Mkhitaryan was                lively throughout his first appearance for the Red Devils
Kwa dakika 45 alizocheza kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Wigan, kiungo Henrikh Mkhitaryan aliwapa mashabiki wa Manchester United kitu roho inataka kwa kutandaza soka bab kubwa.

Mchezaji huyo aliyesajiliwa kwa pauni milioni 26 kutoka Borussia Dortmund akathibitisha thamani yake kabla ya kupumzishwa kipindi cha pili na nafasi yake kuchukuliwa na Juan Mata.

Mashabiki 7000 wa Manchester United waliosafiri kwenda Wigan wakashuhudia nyota huyo wa kimataifa wa Armenia akionyesha uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, chenga za uhakika na pasi zenye macho.
Manchester United new                  boy Henrikh Mkhitaryan was lively throughout his first                  appearance for the Red Devils
Mchezaji mpya wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan aling'ara kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Wigan
The Armenia captain is                  welcomed to English football by a crunching challenge by                  Wigan's Emyr Huws
Henrikh Mkhitaryan akikumbana na Emyr Huws
The 27-year-old                    tries to get past two opponents as he looks to create                    an opportunity for Manchester United
Henrikh Mkhitaryan akiwachambua mabeki wawili wa Wigan
Manchester United manager                    Jose Mourinho would have been pleased with                    Mkhitaryan's performance
Kocha mpya wa Manchester United Jose Mourinho akionyesha ishara ya kukubali mavitu ya Henrikh Mkhitaryan


Comments