HATIMAYE MIKEL ARTETA WA ARSENAL ATUA RASMI MANCHESTER CITY



HATIMAYE MIKEL ARTETA WA ARSENAL ATUA RASMI MANCHESTER CITY
Mikel Arteta amethibitisha kutundika daluga na kuweka wazi kuwa anakwenda kuungana na benchi la ufundi la Manchester City chini ya Pep Guardiola.

Nahodha huyo wa zamani wa Arsenal ametoa taarifa kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa muda wake kama mchezaji umefika ukingoni na anakwenda kufanya kazi na Guardiola. 

"Kufutatia tetesi nyingi za vyombo vya habari juu ya hatma yangu, sasa ninathibitisha kuwa naondoka Arsenal na kwenda Manchester City kama sehemu ya benchi la ufundi," aliandika Arteta.
Mikel Arteta has confirmed                  his retirement from football and will join Pep Guardiola                  at Manchester City 
Mikel Arteta amethibitisha kutundika daluga na kwenda kuwa kocha msaidizi  Manchester City 
Arteta's final game was                  against Aston Villa in May and he left the pitch in                  tears after the final whistle 
Hapa ilikuwa ni katika mchezo wa mwisho wa Arteta kwa Arsenal mwezi Mei dhidi ya Aston Villa ambapo alibubujikwa na machozi baada ya mpira kumalizika
Arteta underlined his                  excitement at working alongside Pep Guardiola at City in                  a coaching role
Arteta anakwenda kuwa msaidizi wa Pep Guardiola  


Comments