KOCHA wa              Manchester City, Pep Guardiola amemkomalia beki John Stones              mwenye miaka 22, ambapo kwa sasa amemtengea hadi pauni mil              50.
        Guardiola anataka              kumsajili beki huyo wa Everton ambaye ameanza kuchomoza              kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England ili kuwa mbadala              wa nahodha wa timu hiyo, Vincent Kompany abaye anaandamwa na              majeruhi.
        
Comments
Post a Comment