CELTIC YATANGAZA KUMSAJILI KOLO TOURE                        MIAMBA ya soka              nchini Scotland, klabu ya Celtic imetangaza kumsajili beki              Kolo Toure aliyekuwa akikipiga Liverpool.
        
            
                Toure amesaini              mkataba wa mwaka mmoja wa kukipiga chini ya kocha wa klabu              hiyo, Brendan Rodgers aliyewahi kuwa naye katika kikosi cha              Liverpool.
                         
 
Comments
Post a Comment