CELTIC YATANGAZA KUMSAJILI KOLO TOURE



CELTIC YATANGAZA KUMSAJILI KOLO TOURE
MIAMBA ya soka nchini Scotland, klabu ya Celtic imetangaza kumsajili beki Kolo Toure aliyekuwa akikipiga Liverpool.


Toure amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kukipiga chini ya kocha wa klabu hiyo, Brendan Rodgers aliyewahi kuwa naye katika kikosi cha Liverpool.


Comments