MIAMBA wa soka              Hispania, klabu ya Atletico Madrid imedhamiria kuimarisha              safu yao ya ushambuliaji kuelekea msimu mpya na tayari              imeandaa ofa kwa mastraika watatu ambao wamehusishwa kutimka              kwenye klabu zao hivi karibuni.
        Atletico              inaangalia uwezekano wa kunasa saini ya mmoja kati ya Pierre              Emerick  Aubameyang, Gonzalo Higuain au Diego Costa ambao              wana thamani kati ya euro mil 50 hadi 60.
        Klabu hiyo              itakutana na wakati mgumu kwani miamba mingine nayo              inawatolea macho washambuliaji hao ikiwemo Real Madrid,              Manchester United, Manchester City na Chelsea.
        
Comments
Post a Comment