Gazeti la Marca la Hispania              limedai kuwa kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane ameiagiza klabu yake              kufanya kila wawezalo ili kumsajili kiungo huyo wa kimataifa              wa Ufaransa.
          Zidane  anataka kuboresha safu yake ya              kiungo cha ukabaji katika kipindi hiki ambacho  Casemiro yuko peke yake kwenye eneo hilo.
          Kante alijiunga na Leicester kwa pauni milioni 5.6 kiangazi              kilichopita akitokea Caen              ya Ufaransa.
        
Comments
Post a Comment