KLABU                ya Sunderland ya England imembania kipa wao chipukizi,                Jordan Pickford, anayehitajiwa na Manchester United.
          Kwa                mujibu kutoka ndani ya Sunderland, klabu hiyo imeamua                kubaki na kipa huyo mwenye miaka 22 ambaye ameonyesha                uwezo mkubwa.
        
Comments
Post a Comment