Mshambuliaji                    wa zamani wa  Barcelona na Chelsea                   Samuel Eto'o amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu                  Georgette Tra Lou katika sherehe zilizofanyika Italia                  siku ya Jumanne.
              Nyota huyo wa            kimataifa wa zamani wa Cameroun mwenye umri wa miaka 35            aliyechezea pia Inter Milan na Sampdoria za Italia, alivalia suti bab kubwa ya kijivu.
        Mshambuliaji wa zamani              wa Barcelona Samuel Eto'o amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu              katika sherehe zilizofanyika Italia
        Mke wa Eto'o's               Georgette Tra Lou, mama wa watoto wawili akiwasili kanisani              kwa bashasha
        Nahodha wa zamani wa              Barcelona Carles Puyol ambaye alicheza na Eto'o alihudhuria              sherehe hizo akiwa na mkewe 
          Kwa mujibu wa                ripoti, Eto'o na Georgette walishaoana tangu mwaka 2007                lakini walikuwa bado hawajafanya sherehe
          Georgette Tra                Lou, mchuchu wa muda mrefu wa Eto'o akiingia kanisani
          
Comments
Post a Comment