SAMUEL ETO'O AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU ...Carles Puyol ahudhuria



SAMUEL ETO'O AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU ...Carles Puyol ahudhuria
Mshambuliaji wa zamani wa  Barcelona na Chelsea  Samuel Eto'o amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Georgette Tra Lou katika sherehe zilizofanyika Italia siku ya Jumanne.

Nyota huyo wa kimataifa wa zamani wa Cameroun mwenye umri wa miaka 35 aliyechezea pia Inter Milan na Sampdoria za Italia, alivalia suti bab kubwa ya kijivu.
Former Barcelona striker                  Samuel Eto'o married his long-term girlfriend on Tuesday                  at a ceremony in Italy
Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona Samuel Eto'o amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu katika sherehe zilizofanyika Italia
Eto'o's new wife Georgette                  Tra Lou, mother to two of his children, looked radiant                  as she arrived at the church
Mke wa Eto'o's  Georgette Tra Lou, mama wa watoto wawili akiwasili kanisani kwa bashasha
Eto'os former Barcelona                  team-mate Carles Puyol attended the ceremony with his                  wife
Nahodha wa zamani wa Barcelona Carles Puyol ambaye alicheza na Eto'o alihudhuria sherehe hizo akiwa na mkewe 
According to reports,                    Eto'o and Georgette have been married since 2007 but                    were yet to hold a white wedding
Kwa mujibu wa ripoti, Eto'o na Georgette walishaoana tangu mwaka 2007 lakini walikuwa bado hawajafanya sherehe
Georgette Tra Lou, the                    long-term girlfriend of Eto'o walks up to the church                    as hundreds watched on outisde
Georgette Tra Lou, mchuchu wa muda mrefu wa Eto'o akiingia kanisani



Comments