PSG 'YATENGA' PAUNI MILIONI 153 KUMSAJILI NEYMAR



PSG 'YATENGA' PAUNI MILIONI 153 KUMSAJILI NEYMAR

Paris Saint-Germain are                    hopeful that they can sign Barcelona superstar Neymar                    this summer
Paris Saint-Germain ina matumaini kuwa itafanikiwa kumsajili supastaa wa Barcelona, Neymar.

Klabu hiyo ya Ufaransa inaangalia uwezekano wa kuifikia kipengele cha manunuzi cha pauni milioni 153 inatakayokuwa rekodi mpya ya manunuzi ulimwenguni.

PSG inajipanga na maisha bila Zlatan Ibrahimovic msimu ujao ambapo taarifa  zinasema Neymar ambaye pia anahusishwa na Manchester United ndiye mtu anayehitajika kwa mabingwa hao wa Ufaransa.
Neymar has a £153million                  release clause at Barcelona but PSG are considering                  buying him out
Neymar anawindwa na PSG 




Comments