NANI ANAKWENDA VALENCIA KWA PAUNI MILIONI 7


NANI ANAKWENDA VALENCIA KWA PAUNI MILIONI 7
Winga wa zamani wa Manchester United aliyekuwa akihusishwa na usajili wa kurejea Old Trafford, amenyakuliwa na Valencia ya Hispania.

Nani mwenye umri wa miaka 29 aliyeitumikia Fenerbahce ya Uturuki msimu uliopita, anakwenda La Liga baada ya Valencia kukubali kulipa pauni milioni 7 ambazo zinatosha kuununua mkataba wa nyota huyo wa kimataifa wa Ureno.

Nani looks set to join                  Spanish side Valencia following the end of Portugal's                  involvement at Euro 2016 in France
Nani mbioni kujiunga na Valencia 
Valencia have agreed to pay                  the £7million release clause for the man who is                  currently withFenerbahce
Valencia imekubali kulipa pauni milioni 7 ili kumnasa Nani


Comments