MOURINHO KUMSAJILI AARON RAMSEY WA ARSENAL IWAPO ATAMKOSA HENRIKH MKHITARYAN WA DORTMOND



MOURINHO KUMSAJILI AARON RAMSEY WA ARSENAL IWAPO ATAMKOSA HENRIKH MKHITARYAN WA DORTMOND
WAKATI klabu ya Manchester United ikiendelea kumfukuzia kiungo wa Borussia Dortmund, Henrikh Mkhitaryan, kocha wa United, Jose Mourinho ameanza kumnyemelea kiungo wa Arsenal, Aaron Ramsey.


Mourinho atamsajili Ramsey mwenye thamani ya pauni mil 50 iwapo atamkosa Mkhitaryan katika dirisha la usajili wa majira haya ya kiangazi.


Comments