MANCHESTER UNITED YAANZA KUTETA NA KINDA BREEL EMBOLO WA BASEL



MANCHESTER UNITED YAANZA KUTETA NA KINDA BREEL EMBOLO WA BASEL
TIMU ya Manchester United inaripotiwa kuanza mazungumzo na kinda wa Basel, Breel Embolo ili kuona kama inaweza kumsajili wakati wa usajili wa majira haya ya joto.


Kwa mujibu wa mtandao wa 20 Minuten, klabu hiyo ya Old Trafford ina uhakika wa kumnasa nyota huyo licha ya kukabiliwa na upinzani kutoka kwa Tottenham.


Comments