KOCHA wa klabu ya              Manchester City, Pep Guardiola anajiandaa kukabiliana na              Barcelona katika vita ya kuwania saini ya winga wa Celta              Vigo, Nolito.
        Nolito, 29,              ametokea kuzivutia mno klabu hizo kutokana na kiwango cha              hali ya juu alichokionyesha msimu uliopita na sasa vita ya              kumtwaa imeanza kupamba moto.     
        
Comments
Post a Comment