LIVERPOOL itaamua wakati wa mashindano ya            Euro 2016 iwapo itaamua kuingia kwenye mbio za kusaka saini ya            mshambuliaji Jamie Vardy wa Leicester ambaye anawaniwa na Arsenal.
        Klabu ya Arsenal imeweka wazi kuwa itatoa            pauni milioni 20 ili kufikia kipengele cha manunuzi cha            mchezaji huyo bora wa mwaka.
        Lakini Daily Star linaandika kuwa            Liverpool imekuwa ikimfuatilia Vardy, 29 kwa misimu miwili na            sasa wataangalia ushiriki wake katika Euro 2016 kabla ya            kuingia vitani.
        
Comments
Post a Comment