REAL            Madrid imeambiwa wazi na Juventus kwamba italazimka kulipa            euro milioni 120 pamoja na kumwachia kungo wake Toni Kroos            kama inataka kumchukua Paul Pogba.
        Juventus            imeripotiwa kuweka sharti hilo kama kigingi kwa Madrid kwa            kuwa hawataki kumuuza staa wao kwa klabu hiyo ya Santiago            Bernabeu.
        Hata hivyo kama kiungo huyo Mfaransa atalazimika            kuondoka, Juve wanamtazama Kroos kama mbadala sahihi wakiamini            kuwa Mjerumani huyo ana vitu vingi vinavyomfanya kufanana na            Pogba dimbani.
        
Comments
Post a Comment