JOHN STONES AIKATAA BARCELONA ILI AENDE MANCHESTER CITY


JOHN STONES AIKATAA BARCELONA ILI AENDE MANCHESTER CITY
Beki wa England  John Stones amekataa mpango wa kwenda Barcelona — na sasa inaaminika anataka kwenda kwa Pep Guardiola huko Manchester City.

Barcelona ilikutana na wakala wa beki huyo - Paul Martin
wiki iliyopita juu ya ofa itakayompatia mshahara wa pauni 90,000 kwa wiki pamoja na marupurupu kibao, lakini ofa hiyo ikapigwa chini.

Barca imekuwa ikimfuatilia Stones tangu mwaka 2014 na licha  ya kushuka kiwango kwa beki huyo mwishoni mwa msimu uliopita, lakini mabingwa hao wa Hispania bado wanaamini Stones ni chaguo sahihi.
England and Everton defender                  John Stones has turned down the chance to sign for                  Spanish giants Barcelona
Beki wa England na Everton  John Stones amekataa mpango wa kwenda Barcelona
Stones (second left) is                  currently on duty with England - who are preparing for                  their Euro 2016 opener
Stones (wa pili kushoto) akiwa na kikosi cha England kuelekea  Euro 2016 
Barca believe the                  22-year-old centre back will join incoming Manchester                  City manager Pep Guardiola (centre)
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola yuko katika nafasi nzuri ya kumnasa Stones




Comments