CRYSTAL PALACE KUMRUDISHA ANDROS TOWNSEND WA NEWCASTLE LIGI KUU



CRISTAL PALACE KUMRUDISHA ANDROS TOWNSEND WA NEWCASTLE LIGI KUU
CRYSTAL Palace inataka kumrudisha winga wa Newcastle United, Andros Townsend katika ngazi ya Ligi Kuu England kwa kutoa kiasi cha pauni mil 8 ili kuinasa saini yake.


Newcastle imeshuka daraja msimu huu, lakini Palace imeingia sokoni kwa ajili ya kusaka wachezaji bora na Townsend anaweza kupata nafasi ya kurudi Ligi Kuu kwa kukubali uhamisho huo.


Comments