WAYNE ROONEY AUPA MKONO WA KWAHERI USHAMBULIAJI


WAYNE ROONEY AUPA MKONO WA KWAHERI USHAMBULIAJI
Manchester United captain Wayne Rooney looks to the sky            after scoring his 100th goal at Old Trafford
Mshambuliaji na nahodha wa Manchester United na Englanda Wayne Rooney amesema anafikiria kuhamishia soka lake kwenye nafasi ya kiungo.
Rooney ameyasema hayo baada kucheza vyema katika safu hiyo dhidi ya Bournemouth katika uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England.
Katika mechi hiyo ya Manchester United ilipata ushindi wa maba0 3-1, matokeo yaliwapa tiketi ya kucheza Europa League.
Rooney alifunga bao la kwanza kabla ya kumtengea pasi nzuri Ashley Young aliyefunga goli la tatu.
"Wakati mwingine unashawishika kubadili mazingira ya kazi yako na kwa sasa ni mimi ni bora zaidi kwenye eneo la kiungo," alisema Rooney.


Comments