Katika mechi            hiyo ya Manchester United ilipata ushindi wa maba0 3-1,            matokeo yaliwapa tiketi ya kucheza Europa League.
        Rooney            alifunga bao la kwanza kabla ya kumtengea pasi nzuri Ashley            Young aliyefunga goli la tatu.
        "Wakati mwingine            unashawishika kubadili mazingira ya kazi yako na kwa sasa ni            mimi ni bora zaidi kwenye eneo la kiungo," alisema Rooney.
        
Comments
Post a Comment