KLABU ya              Southampton inazidi kumnyatia nyota wa Anderlecht ya              Ubelgiji, Dennis Praet kwa ada ya pauni mil 10.
        Dennis Praet              mwenye miaka 22, amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake              wa kuitumikia klabu hiyo.
        Mchezaji huyo              amekuwa akifukuziwa na klabu kadhaa za barani laya zikiwemo              Sevilla ya Hispania, Fiorentina ya Italia, Everton na              Leicester City za Uingereza.
        
Comments
Post a Comment